Monday, December 9, 2013

Mandela's ex-wife Winnie attends memorial service for former president on official day of mourning in South Africa




By LEON WATSON
Nelson Mandela's former wife grieved for him in public today at a memorial service for South Africa's first black leader.
Dressed in black, Winnie Madikizela-Mandela attended a Methodist service in the northern Johannesburg suburb of Bryanston, where President Jacob Zuma hailed the values of the country's most beloved statesman.
'He believed in forgiveness and he forgave, even those who kept him in jail for 27 years,' Zuma said in a eulogy. 'He stood for freedom. He fought against those who oppressed others. He wanted everyone to be free.'
The service was held as the country started a week of mourning for the inspirational freedom fighter. South Africa is readying itself for the arrival of a flood of world leaders for Mr Mandela's memorial service and funeral.
Nelson Mandela's former wife Winnie Madikizela-Mandela (left), and South African President Jacob Zuma attend a memorial service for Mandela
Nelson Mandela's former wife Winnie Madikizela-Mandela (left), and South African President Jacob Zuma attend a memorial service for Mandela
Winnie Madikizela-Mandela, ex-wife of former South Africa president Nelson Mandela prays as she attends a service at Bryanston Methodist Church
Winnie Madikizela-Mandela, ex-wife of former South Africa president Nelson Mandela prays as she attends a service at Bryanston Methodist Church
Winnie Madikizela-Mandela, ex-wife of former South Africa President Nelson Mandela, President Jacob Zuma and Mandla Mandela (right) the grandson of Nelson Mandela, laugh as President Zuma holds a child (name unknown) who has just been baptised
Winnie Madikizela-Mandela, ex-wife of former South Africa President Nelson Mandela, President Jacob Zuma and Mandla Mandela (right) the grandson of Nelson Mandela, laugh as President Zuma holds a child (name unknown) who has just been baptised
Shrouded in black, Winnie Madikizela-Mandela arrives for the service at Bryanston Methodist Church  Shrouded in black, Winnie Madikizela-Mandela arrives for the service at Bryanston Methodist Church
Shrouded in black, Winnie Madikizela-Mandela arrives for the service at Bryanston Methodist Church
Dressed in black, Winnie Madikizela-Mandela attended a Methodist service in the northern Johannesburg suburb of Bryanston
Dressed in black, Winnie Madikizela-Mandela attended a Methodist service in the northern Johannesburg suburb of Bryanston
A child holds a candle during Sunday service on a national day of prayer for Nelson Mandela at Ragina Mundi Church in Soweto
A child holds a candle during Sunday service on a national day of prayer for Nelson Mandela at Ragina Mundi Church in Soweto
People are gathering all across South Africa today as Nelson Mandela's 'Rainbow Nation' starts a week of official mourning to mark his death.
The country has come to a standstill for a national day of reflection as people mass together in parks, churches and public spaces to pay tribute to South Africa's first black president.
Mr Mandela, also known as Madiba, passed away on Thursday at his home in Houghton at the age of 95. It provoked a worldwide outpouring of emotion.

Sikiliza kwa makini Hotuba ya January Makamba katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara Washington DC


Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba alipoongea na waTanzania waishio DMV katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara iliofanyika ndani ya ukumbi wa Ukumbi wa THE FRIENDSHIP CENTER Laurel, Maryland nchini Marekani

Watanzania waishio DMV kwa makini wakimsikiliza Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba alipokua akihutubia katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara iliofanyika ndani ya ukumbi wa Ukumbi wa THE FRIENDSHIP CENTER Laurel, Maryland nchini Marekani

Wanajumuiya ya DMV   wakimsikiliza  Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba alipokua akihutubia katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara iliofanyika  Siku ya Jumamosi ndani ya ukumbi wa Ukumbi wa THE FRIENDSHIP CENTER Laurel, Maryland nchini Marekani
Mhamasishaji wa  sherehe nzima ya Uhuru wa Tanzania Tumaini Kaisi Katule akimakinika kumsikiliza Mbunge wa Bumbuli na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba alipokua akihutubia katika sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara iliofanyika  Siku ya Jumamosi ndani ya ukumbi wa Ukumbi wa THE FRIENDSHIP CENTER Laurel, Maryland nchini Marekani.

Taswira:Umati wa Wananchi Wajitokeza kumsikiliza Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt.Wilbrod Slaa Mjini Kasulu,Vijana wapatao 10-15 Wajitokeza na Mabango Wananchi Wawafukuza kwa kitendo cha kuvamia mkutano wa chadema na kupiga kelele ili mkutano usiendelee.

 Sehemu ya Mabango yaliyobebwa a Vijana wapatao 10-15
 Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa akihutubia katika Mkutano uliofanyika  Kasulu, Kigoma
 Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wlbrod Slaa akiwa na Wananchi wa Kijiji cha Kitanga, Kigoma.Picha na Chadema
----
Pamoja na Mbinu Chafu za Kutaka Kuvuruga Mkutano wa Chadema Kasulu Uliokuwa Unahutubiwa na Dr Slaa, lakini wananchi wengi wa Kasulu walijitokeza kumsikiliza Dr Slaa na kufurahishwa na hotuba yake iliyobeba maneno ya kuwapa Matumaini. 
 
 Kulikuwa na kikundi cha Vijana wapatao kumi wenye mabango ambayo yaliandaliwa mahsusi ili yatumike kuvuruga mkutano huo lakini mbinu zao chafu zimeshindikana. Ili kuzima mipango yao michafu vijana hao walipewa fursa ya kukaa mbele na mabango yao yenye ujumbe wa kuwaponda viongozi wa Chadema.
 
 Vijana hao walipewa fursa hiyo ili kuonyesha kwamba Chadema kinaendeshwa kwa Demokrasia ya kumruhusu mwanachadema yeyote kutoa mawazo yake anayopenda ili kudumisha Demokrasia ndani ya Chama.

Friday, December 6, 2013

Kutoka Bungeni Mjini Dodoma


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Desemba 5, 2013
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid (kushoto) na Mbunge wa Mkanyageni, Mohamed Habib Mnyaa,kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge mjini Dodoma Desemba  5, 2013.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kabla  ya kipindi cha maswali kjwa Waziri Mkuu, Bungeni mjini Dodoma  Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma, Desemba 5, 2013
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na  Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Fenella Mukangara kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013. Picha na Ofisi ya `Waziri Mkuu

UN Statements on the death of Mandela


Sec General Ban-Kin Moon
-

 THE SECRETARY-GENERAL
--
REMARKS TO MEDIA, INCLUDING QUESTIONS AND ANSWERS


SG: I am profoundly saddened by the passing of Nelson Mandela.

Nelson Mandela was a giant for justice and a down-to-earth human inspiration.  

Many around the world were greatly influenced by his selfless struggle for human dignity, equality and freedom. He touched our lives in deeply personal ways.

At the same time, no one did more in our time to advance the values and aspirations of the United Nations.  

Nelson Mandela showed what is possible for our world and within each one of us - if we believe, dream and work together for justice and humanity.  

His moral force was decisive in dismantling the system of apartheid.

Remarkably, he emerged from 27 years of detention without rancor, determined to build a new South Africa based on dialogue and reconciliation.

I was privileged to meet Nelson Mandela in February 2009. When I thanked him for his life’s work,
he insisted the credit belonged to others.  

I will never forget his selflessness and deep sense of shared purpose.

On behalf of the United Nations, I extend my deepest condolences to Nelson Mandela’s family, the people of South Africa, and indeed our global family.  

Let us continue each day to be inspired by Nelson Mandela’s lifelong example to keep working for a better and more just world.

Q: Secretary-General, could you recall perhaps your first encounter or the various encounters you might have had with Nelson Mandela? What was that like on a personal level?

SG: When I met him in his residence, I was deeply touched and moved and inspired by what he said. When I praised him for his lifelong contributions and struggle to end apartheid, he said that, no, it’s not only me – there are hundreds and hundreds of known, unknown people, who have contributed to the ending of apartheid. I was so touched. It [has] stuck [with] me since then – the sense of human decency, such humility and humbleness, such a great man of the world who was saying that it was not only him, that there were known and unknown, hundreds and hundreds of people. He repeated this two, three times. Then, I again in the course of my dialogue, I told him, well, President Mandela, we are grateful for your contribution, for [your] lifelong contribution to make this world just and to end apartheid. He said again, repeated same thing, no, it’s not only me. There are hundreds and hundreds of known and unknown people who made this happen. That was a moment of deep inspiration for me. This is [something] I’m still keeping, and I’ve been speaking to many of our colleagues – look, this is what such a great man said. This is really a sense of human decency and humility, and I’m deeply grateful for what he has left during his lifetime to make this world just and fair and equal for everybody. Thank you.

Q: Is there any single message that Nelson Mandela has made throughout the years that run particularly true with you and that you think applies today in Africa and throughout the rest of the world? Because one of the things he often said was that the whole cause of freedom was still a work in progress.

SG: Africa and many countries in the world during the last century and many centuries before have suffered from this colonial rule and abuse and violations of human rights and human dignity. Only because of such great men like Nelson Mandela is it possible that, particularly people in Africa and elsewhere, are able to enjoy freedom and human dignity. But I’m still very much humbled. 

If we think [of the] current state of the world, where still many people, particularly vulnerable groups, women and girls, particularly in conflict areas, whose human rights are totally abused and violated, we have to learn from the wisdom and determination and commitment of President Mandela to make this world better for all. That is why I really wanted to express my deepest admiration and respect to President Mandela and the people of South Africa and all people of Africa. Thank you very much. 

Thank you.

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI ZANZIBAR YAFUNGUA KITUO CHA UTABIBU WA MIFUGO KASKAZINI B UNGUJA


 Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yusuf Mzee akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa kituo cha utabibu na uzalishaji mifugo kiliopo Mangapwani Mkoa Kaskazini `B’ Unguja.
 Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Kasim Gharib Juma akitoa maelezo  ya kituo cha utabibu na uzalishaji mifugo kiliopo Mangapwani Mkoa Kaskazini `B’ Unguja
 Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee akizungumza na  wananchi katika ufunguzi wa kituo cha utabibu na uzalishaji mifugo. Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Kasim Gharib na kushoto Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Pembe Juma Khamis.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika ufunguzi wa kituo cha utabibu na uzalishaji mifugo Mangapwani Mkoa Kaskazini `B’ Unguja wakimsikiliza Waziri wa Fedha Mh. Yussuf Omar Mzee( hayupo pichani).Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
--- 
Na Ali Issa na Miza Othman Maelezo –Zanzibar. 5/12/013
Waziri wa Fedha wa Zanzibar  Mh. Omar Yussuf Mzee ameitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwashajihisha wananchi wa Mangapwani na vitongoji vyake kukitumia kituo cha utababu na uzalishaji mifugo kilichopo Mangapwani Wilaya ya Kaskazini B  kupeleka mifugo yao kwa ajili ya  kupatiwa matibabu na kupata mbegu bora za mifugo.
Hayo ameyasema leo huko Mangapwani wakati wa uzinduzi wa kituo cha utabibu wa mifugo  kijijini hapo ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za kutimiza miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Amesema  kwa muda mrefu wafugaji wamekua wakipata usumbufu wa kufuata huduma za mifugo mbali na eneo hilo  hivyo  utanuzi wa vituo vya utibabu na uzalisha mifugo  vijijini ni kuwapunguziamatatizo  wananchi  na amewashauri kuvitumia ili kuongeza uzalishaji wa mifugo.
“Ili kufikia lengo la kuwepo kwa kituo hiki hapa ni kwa wananchi kukitumia kikamilifu kupeleka mifugo yao kupatiwa matibabu, mbegu bora za mifugo na ushauri kutoka kwa watalamu wa mifugo”, alisema Waziri .
Aliongeza kuwa katika kufanikisha hatua hiyo   Wizara ya Mifugo italazimika kutoa elimu ya kutosha kwa wafugaji  kukitumia kituo hicho kupata matibabu ya  mifugo yao pamaoja na kupatiwa mbegu bora za kisasa za mifugo  itakayowapatia tija kwa haraka.
Alidokeza kuwa  kabla ya Mapinduzi ya 1964 kituo cha utabibu wa mifugo kilikuwa kimoja tu kwa Unguja  katika eneo la Maruhubi ambacho kilitoa huduma kwa wafugaji wote lakini kupelekwa huduma hiyo karibu na wananchi vijini ni frusa pana kwa wafugaji kuongeza uzalishaji. 
Nae Mkuu wa Mkoa  wa Kaskazini Unguja  Pembe Juma Khamiss akimkaribisha Waziri huyo  aliiomba Wiraza  pamoja na kituo hicho kujenga majosho ya kuoshea mifugo pamoja na kupeleka madaktari wa mifugo kituoni hapo.
Aidha alisema   hadi hivi sasa Mkoa wake umepata vituo viwili  vinavyotoa  huduma za Afya  ya mifugo  jambo linaloleta faraja kubwa kwa wananchi  kwani ndio mkoa unaoongoza kwa wafugaji wengi.
Mapema Katibu Mkuu wa Wizara ya  Mifugo na Uvuvi Kassim Gharibu amesema Wizara ya Uvuvi na Mifugo inawataalamu wakutosha wa afya ya mifugo jambo  ambalo  litawezesha vituo vyote vitakavyoanzishwa kutoa huduma kwa ufanisi bila matatizo yoyote.
Alisema  Wizara imejipanga vizuri kusambaza vituo vya huduma za mifugo   Unguja na Pemba na mpaka sasa imeshajenga vituo 23,  Unguja 12 na Pemba 11.
Ujenzi wa kituo hicho umefadhiliwa na Shirika la  Umoja wa Mataifa la IFAD na kimegharimu Shilingi milioni 22 za kitanzania.

Thursday, December 5, 2013

'Polar Express' blast hits half the US as millions are warned to prepare for the worst storm in a decade with temperatures dropping to MINUS 40


By ASSOCIATED PRESS
A wintry storm pushing through the western half of the country is bringing bitterly cold temperatures that prompted safety warnings for residents in the Rockies and threatened crops as far south as California.
The jet stream is much farther south than normal, allowing the cold air to push in from the Arctic and drop temperatures by 20 to 40 degrees below normal levels, AccuWeather meteorologist Tom Kines said on Tuesday.
Areas of Montana and the Dakotas were forecast to reach lows in the minus-20s, while parts of California could see the thermometer drop to the 20s.
Commuters creep along the snowy highway in St Louis Park, Minnesota today as weather conditions were set to get worse later this week
Commuters creep along the snowy highway in St Louis Park, Minnesota today as weather conditions were set to get worse later this week
Olivia Kumi braved the wintry weather by walking to work on Wednesday in Brooklyn Park, Minnesota as it turned bitterly cold following a huge storm system descending on the country
Olivia Kumi braved the wintry weather by walking to work on Wednesday in Brooklyn Park, Minnesota as it turned bitterly cold following a huge storm system descending on the country
Brittany Katalenas braves snowy conditions on her walk to work in Boulder, Colorado as sub-zero temperatures set in
Brittany Katalenas braves snowy conditions on her walk to work in Boulder, Colorado as sub-zero temperatures set in
Sam Flaifel, left, Dave Warner, center, and Pat Riestenberg, clear snow from 400 cars in Brooklyn Center, Minnesota today. A wintry storm pushing through the Rockies and Midwest is bringing bitterly cold temperatures and treacherous driving conditions
Sam Flaifel, left, Dave Warner, center, and Pat Riestenberg, clear snow from 400 cars in Brooklyn Center, Minnesota today. A wintry storm pushing through the Rockies and Midwest is bringing bitterly cold temperatures and treacherous driving conditions
The icy, 'Polar Express' blast was expected to be followed by another one later in the week, creating an extended period of cold weather that hasn't been seen since the late 1990s, meteorologists said.
Officials warned residents to protect themselves against frostbite if they are going to be outside for any length of time.
Snow falls on Monday afternoon in Shoreview, Minnesota as a storm hit 24 states
Snow falls on Monday afternoon in Shoreview, Minnesota as a storm hit 24 states
A tanker truck is tended to by firefighters after sliding off the snowy highway near mile marker 48 on Interstate 90 in Piedmont, South Dakota
A tanker truck is tended to by firefighters after sliding off the snowy highway near mile marker 48 on Interstate 90 in Piedmont, South Dakota
A Department of Transportation plow clears snow from the northbound lane of Highway 85 near Jay Em, Wyoming
A Department of Transportation plow clears snow from the northbound lane of Highway 85 near Jay Em, Wyoming
The storm hit the northern Rockies on Monday and Tuesday, dumping up to 2 feet of snow in the mountains and in Yellowstone National Park.
Snow and ice created hazardous driving conditions throughout the West, and were a factor in a four-vehicle crash in central Montana that killed 21-year-old Chelsea Stanfield of Great Falls. Authorities said Stanfield was driving too fast for the conditions. The weather also closed a stretch of Interstate 90 on Tuesday between Sheridan and Buffalo, Wyoming.

MATAJIRI YANGA WAMFUNGIA SAFARI OKWI




WAJUMBE wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Yanga,
Seif Ahmed 'Magari' na Abdalah Bin Kleb wametua
mjini Nakuru kwa ajili ya kusaka wachezaji.
Seif na Bin Kleb, waliwasili Nakuru jana asubuhi na kusema
kuwa, wamekuja kuwafuatilia wachezaji watatu.
Bin Kleb, aliwataja wachezaji hao kuwa ni Emmanuel Okwi,
Daniel Ssenkuruma wa Uganda na Abdul Razak Fiston wa Burundi.
Alisema walipata taarifa za wachezaji hao kutoka
kwa mmoja wa mawakala, ambaye yupo mjini hapa
kufuatilia wachezaji.
Aliongeza kuwa, ujio wao nchini Kenya umelenga kuwaona kwa
macho wachezaji hao na pia kutathmini uwezo wao kabla ya
kuamua kuwasajili.
Bin Kleb alikiri kuwa, kwa muda mrefu Yanga imekuwa na
shauku ya kutaka kumsajili Okwi, ambaye
anamaliza mkataba na klabu yake ya sasa Februari
mwakani.
Alisema kama wataridhika na viwango vya
wachezaji hao, watakuwa tayari kumwaga mamilioni ya
fedha ili waweze kuwasajili.
"Tunachotaka ni kupata wachezaji wazuri na kila
wakala tuliyemuuliza kuhusu wachezaji hao,
aliwamwagia sifa na sasa tumekuja ili kuhakikisha
viwango vyao," alisema Bin Kleb.
Viongozi hao wa Yanga watapata nafasi ya
kumuona Abdul Razak Fiston wa Burundi wakati
timu yake itakaposhuka dimbani kuumana na
Kilimanjaro Stars katika mchezo uliochezwa jana
kwenye uwanja wa Afraha, Nakuru.
Okwi na Ssenkuruma wataonekana leo wakati timu yao ya Uganda
itakapoikabili Sudan.

Taswira:Katibu Mkuu wa Chadema Dkt.Wilibrod Slaa Aung'uruma Kahama na Kutia Fora


 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana jioni.
Huu ndiyo mkutano wa Dkt. Slaa wa jna jioni uliofanyika Kahama mjini ambao ulianza majira ya saa 12.15 jioni ambapo watu wamekuwepo uwanjani tangu saa 8 mchana kama walivyotangaziwa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa akipungia mamia na wapenzi wa chadema muda mfupi baaada ya kumaliza kuwahutubia wanachi wa mji wa Kamaha na vitongoji vyake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua na kuimarisja uhai wa chama katika mikoa ya Shinyanga, Kigoma, Tabora na Singida, uliofanyika kwenye Uwanja wa CDT mjini Kahama jana jioni.Picha na Joseph Senga

COURT REJECTS WESTGATE TERROR SUSPECT’S BAIL APPLICATION


THE HIGH COURT HAS DECLINED TO GRANT BAIL TO FOUR MEN SUSPECTED TO HAVE BEEN INVOLVED ON THE TERROR ATTACK AT THE WESTGATE SHOPPING MALL IN SEPTEMBER.
The four suspects were formally charged in november. (EPA)
The four suspects were formally charged in november. (EPA)The four suspects were formally charged in november. (EPA)
In his ruling, Chief Magistrate Kiarie Waweru Kiarie said that prosecution had given compelling reasons to reject the bail application by the four accused persons.
The magistrate said he concurred with objection by the prosecution led by senior state counsel Mr James Mungai Warui that there had been numerous terror attacks in the country and releasing the accused persons could deter the justice process.
He said that the prosecution had also informed the court that investigations were still underway and that the accused had no fixed residence since they were refugees.
Mr Kiarie ordered that the accused persons be remanded until December 18 when their case will be mentioned before the trial magistrate.

Nchimbi abebeshwa zigo la Prof Kapuya


WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi ameingia lawamani kwa kudaiwa kumlinda Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), anayedaiwa kumbaka na kumtishia kumuua binti wa miaka 16.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi.
Akizungumza kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi wa simu (sms) na Tanzania Daima jana, binti anayelalamika kutishiwa maisha na Profesa Kapuya, amemtuhumu Waziri Nchimbi kushindwa kulishughulikia suala hilo mapema licha ya kuwa na taarifa za tukio hilo muda mrefu.
Binti huyo alisema kuwa Dk. Nchimbi ni miongoni mwa mawaziri na viongozi wa CCM waliokuwa wakifahamu kila kinachoendelea dhidi ya malalamiko husika.
Alibainisha kuwa makada hao wa CCM walikuwa wakifanya jitihada za kuhakikisha manyanyaso na vitisho kutoka kwa Profesa Kapuya haviwekwi hadharani.
Katika kile kinachoonekana ni kukata tamaa juu ya usalama wake pamoja na dada yake, binti huyo alisema amewasiliana na Waziri Nchimbi asubuhi ya jana na kwamba waziri huyo hakuonyesha dalili yoyote ya kujali madhila yao.
Alisema kutokana na Waziri Nchimbi kutokutilia uzito malalamiko yao, waliamua kumuandikia ujumbe mfupi wa maandishi wakimshutumu kuendelea kumlinda Profesa Kapuya.
“Nimemwambia katika ujumbe mfupi wa maneno (sms) kuwa jukumu la polisi iliyo chini ya wizara yake ni kuhakikisha wananchi wanalindwa dhidi ya manyanyaso na vitisho vya aina yoyote, na kwamba katika kadhia hii ya Kapuya Jeshi la Polisi limekuwa kimya.

MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO(UB) PROFESA COSTA MAHALU ANAWATANGAZIA MAHAFALI YA KWANZA YA CHUO CHA BAGAMOYO

 Makamu Mkuu wa Chuo KIkuu cha Bagamoyo (UB), Profesa Costa Ricky Mahalu 
----
 MAKAMU Mkuu wa Chuo KIkuu cha Bagamoyo (UB), Profesa Costa Ricky Mahalu anawatangazia mahafali ya kwanza ya kihistoria ya chuo hicho, yatakayofanyika Jumamosi Desemba 7 mwaka huu, Saa nne asubuhi katika Makumbusho ya Taifa karibu na Chuo Cha Usimamizi wa Fedha(IFM), Dar es Salaam.
 
Profesa Mahalu aliyasema hayo leo katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi za Makao Makuu ya Chuo hicho, Mikocheni B kwa Warioba, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Mohammed Gharib Bilal.
 
Profesa Mahalu alisema chuo hicho kilianzishwa rasmi miaka miwili na miezi mitatu iliyopita ambapo hadi sasa ina jumla ya wanafunzi zaidi ya 850. Kwani wakati kilipoanzishwa mwaka 2011 chuo kilianza na wanafunzi wa 65.Hadi sasa wana jumla ya koleji nne , koleji ya kwanza ni ya Sheria, Ualimu, Sayansi Uchumi na sayansi ya Menejimenti.
 
Hata hivyo alitoa wito kwa waandishi wa habari wote nchini waone wakati umefika sasa wakuanza kupenda kusoma fani ya sheria kwani wasomi wa sheria na jamii imekuwa ikishuhudia baadhi ya habari zinazohusu masuala ya kisheria kama habari za mahakamani zikilizipotiwa hisivyosahihi na baadhi ya waandishi wa habari na kuongeza kuwa endapo waandishi wengi wa habari waamue  kusoma sheria wangeondokana na tatizo hilo la kutokufahamu vyema kuripoti habari zinazohusu masuala ya kisheria.
 
Aidha alisema tayari waandishi wa habari za mahakamani wawili nchini wameishajiunga katika chuo hicho na wanasoma kozi ya shahada ya sheria na kwamba chuo kinashuhudia mabadiliko makubwa sana ya uandishi wenye radha ya kisheria unaonandikwa na waandishi hao katika vyombo vyao vya habari kwasababu wanasoma sheria.
 
Mwisho

Kutoka Chadema:Taarifa ya Uchunguzi Juu ya Jaribio Ovu la Kuchoma Ofisi Za Chadema Mkoani Arusha


 Sehemu inayosemekana waliingia watu waliochoma ofisi
 Sehemu ya Ofisi ya Chadema Mkoani arusha iliyochomwa moto
---
Juzi 3/12/2013 jaribio baya lilifanyika dhidi ya kuchoma ofisi ya CHADEMA ya Kanda ya Kaskazini na Mkoa wa Arusha .
 
Hata hivyo Jeshi la Polisi lilifika kwa ajili ya uchunguzi wa awali na Chama kilielekeza Kitengo chake cha Usalama na Ulinzi kuanza kufuatilia jambo hilo kwa kina ili kubaini wahalifu wa jaribio hilo baya . Taarifa ambazo tumepokea mpaka sasa ni taarifa muhimu ambazo tunahamini zitaisadia Jeshi la Polisi katika uchunguzi wake.
 
Tumepeleka majina ya Watu ambao taarifa zetu za kina zinaonyesha wanahusika na tukio hili takribani wasiozidi watano na ni imani yetu kuwa Jeshi la Polisi litachukuwa hatua muhimu katika uchunguzi wao huku Chama tukiwa tiyari kabisa kutoa ushirikiano wa dhati katika uchunguzi wa kina na wakitaalaamu ambao utaweza kuthibitisha udadisi wetu na uchunguzi wetu ili kuponya Taifa letu .
 
Hata hivyo Chadema kinalitaka Jeshi la Polisi kutokufanya Siasa katika jambo hili kwani ni muhimu wakaelewa kwamba kupuuza uchunguzi wa jambo hili ni hatari kwa Mkoa wa Arusha na mustakabali wa Amani ya Taifa letu . Chama katika utafiti wake kimebaini kuwa miongoni mwa washukiwa katika tukio hili wamekuwa ni Vijana ambao wamekuwa wakifanya kazi na Polisi katika jitihada za kuhujumu Chadema na hivyo kunaleta mashaka makubwa juu ya uchunguzi wa jambo hili kama utafanyika kwa ufasaha na weledi wa hali ya juu kwa majina ambayo Chama imemkabidhi Kamanda wa Polisi Mkoa .
 
Hata hivyo katika uchunguzi wake Chadema inasikitishwa sana na kitendo cha Serikali kumpatia mmoja wa washukiwa umiliki wa silaha aina ya bastola wakati Mtu huyo akiwa na rekodi ya kuwa na kichaa cha mara kwa mara .
 
Chadema Kanda ya Kaskazini inawataka Wanachama wake na wafuasi watulie kimya bila kutafakari aina yeyote ya kisasi kwa jaribu hili baya ili kutoa fursa njema kwa Viongozi wao na Jeshi la Polisi ili kuwabaini Watu hawa waliotaka kuteketeza Ofisi ya Chama kwa moto . Lakini pia Chadema inamshukuru sana na kumpongeza mmiliki wa nyumba hiyo kwa kutambua majaribu ambayo tumepitia wakati huu kwa kukubali kurekebisha nyumba ambayo ni ofisi yetu kwa gharama zake mwenyewe kama sehemu ya kuheshimu jitihada za kushinda hofu na woga unaotaka kupandikizwa miongoni mwa jamii yetu .

NANYARO E.J.
Mwenyekiti Wilaya
4/12/2013

KINANA AICHANACHANA CHADEMA MBEYA, AMALIZA ZIARA KWA KISHINDO



1
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda bajaji tayari kwa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Luanda Nzovwe Mwanjelwa jijini Mbeya akitokea ofisi za CCM mkoa wa Mbeya, huku Nape Nnauye naye akijiandaa kuinga kwenye bajaji. Kinana akiongozana na Ujumbe wake pamoja na viongozi wa mkoa wa Mbeya na wilaya leo wametumia usafiri huo ili kuonyesha kwamba Chama hicho ni chama cha wananchi wa kawaida ambao ni wafanyakazi na wakulima tofauti na wenzetu wanaojifanya wanawatetea lakini wanakuja na Helikopta na kuwachangisha michango ya fedha kisha wanatokomea zao. Katika msafara huo pia yupo Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Mbunge wa kuteuliwa.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MBEYA) 2
Msafara ukielekea kwenye mkutano
4Vijana wa Mwanjelwa wakiuzuia msafara wa Kinana wakati alipokuwa akielekea uwanja wa Luanda Nzovwe kwenye mkutano jambo lililofanya Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye watembeee kwa mguu