Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, akitia chakula cha futari iliyoandaliwa na Uongozi wa Benki ya watu wa Zanzibar, PBZ, wakati aliposhiriki pamoja na viongozi wengine pia wakiwemo wafanya biashara mbali nbali, katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort jana. Picha na Ramadhan Othman Ikulu-Zanzibar
No comments:
Post a Comment